News

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Jumuiya ya Kampuni zinazohusika na Usambazaji wa Mitungi ya Gesi (LPG) -TZLPGA kwa lengo la kuwashukuru kwa ...
WANANCHI zaidi ya 11,000 wa vitongoji vitatu vya Mbuyuni, Rudewa Batini na Gongoni katika kata ya Rudewa wilayani Kilosa mkoani Morogoro matumaini yao ya kupanua kilimo chenye uhakika cha umwagiliaji ...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi Ofisi Maalum kwa Walipa Kodi Binafsi wa Hadhi ya Juu, ikiwa ni hatua ya kuboresha huduma kwa kundi la walipa kodi wenye mchango mkubwa katika uchumi wa ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko. Na Mwandishi Wetu, Mtanza nia Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi katika Taasisi ...
NAIBU Waziri wa Fedha,Hamad Hassan Chande amewataka wafanyakazi wa Ofisi za Taifa za Takwimu (NBS) kufanya kazi kwa maarifa, weledi na bidii kubwa huku akiwataka kujiendeleza kielimu. Kauli hiyo ...
Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko. Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko amekutana na wadau na taasisi mbalimbali wa madini kutoa na kupokea maoni ya marekebisho ya ...
Atiki Ally Atiki akiwa katika harakati zake za mchezo wa Mpira wa Kikapu (Picha kwa Hisani ya The Citizen). Na Mwandishi Wetu Imekuwa ni kawaida kwa Shule ya Sekondari ya High View na ya Msingi High ...
Jeshi la Sudan limetangaza mafanikio makubwa baada ya kukomboa mji wa Wad Madani, mji muhimu mashariki mwa nchi hiyo, kutoka mikononi mwa vikosi vya wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF). Tukio ...
Kadri teknolojia inavyozidi kukua, maisha yanakuwa rahisi zaidi. Sasa, hakuna ugumu tena wa kusafisha maji ya kunywa au matumizi mengine kwa kuyasubiri kwa muda mrefu. Mashine za kisasa zinazoweza ...
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), umesema unaendelea kuenzi na kulinda juhudi zote zilizofanywa na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere wakati wa uhai wake katika kulinda na ...
Impostor syndrome was identified by Pauline Clance and Suzanne Eames in an article in 1978. Initially, psychologists believed that the phenomenon affects only women. The reasons were social inequality ...
Uhakika wa ajira imekuwa ni changamoto kubwa inayowakabili vijana wengi wanaohitimu kwenye vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini. Hatua hiyo imekuwa ikipelekea wahitimu wengi kuzunguka huku na kule wakiwa ...